Alhamisi, 6 Juni 2013

BREAKING NEWS: MUME WA KHADIJA KOPA AFARIKI DUNIA



                              Khadija Omar Kopa akiwa na mumewe Jaffari Ally enzi za uhai wake


Mume wa Malkia wa Mipasho Afrika Mashariki, Khadija Omar Kopa, aitwaye Jaffari Ally amefariki dunia usiku wa kuamkia leo. Marehemu alikuwa anasumbuliwa na matatizo katika mfumo wa upumuaji na mpaka mauti yanamfika alikuwa amelazwa katika hospitali ya Lugalo jijini Dar es Salaam.

0 maoni:

Chapisha Maoni

Share

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More