Jumanne, 4 Juni 2013

KIBANDA AREJEA KUTOKA AFRIKA KUSINI, KWA KISHINDO


                                  Kibanda akiongea na waandishi wa habari alipowasili air port

                                       Hapa akilia kwa uchungu baada ya kuwasili airport


BAADA ya kuwa Afrika Kusini  majuma kadhaa kwa ajili ya matibabu, Mhariri Mtendaji wa Magazeti ya New Habari 2006 na Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri, Absalom Kibanda, hatimaye  amerejea nyumbani leo mchana na  kulakiwa na mamia ya waandishi wa habari.

0 maoni:

Chapisha Maoni

Share

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More