Jumanne, 4 Juni 2013

Tizama picha zinazoonyesha kuwasili kwa mwili wa Albert Mangwea


Wasanii,waandaji,mashabiki na wadau wa muziki wa kizazi kipya Tanzania wameungana kupokea mwili wa marehemu Albert Mangwear pale Air Port Mchana wa leo.Albrt Mangweha "Ngwair" alifariki Jumanne iliyopita 28/5/2013 huko Afrika Kusini
 

Mwili wa marehemu Albert Mangweha a.k.a Ngawair ukiwa unapakiwa kupelekwa Airport kwa ajili ya kuletwa Tanzania.…

0 maoni:

Chapisha Maoni

Share

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More