Alhamisi, 6 Juni 2013

MTOTO WA MICHAEL JACKSON ATAKA KUJIUA





Imeripotiwa kuwa mtoto wa marehemu Michael jackson,Paris Jackson  amekimbizwa hospitalin
baada ya kufanya jaribio la kujiuwa. Jackson Paris  mwenye umri wa miaka 15 sasa,alikimbizwa hospitali mapema Jumatano asubuhi na vyanzo kutuambia ilikuwa jaribio kujiua.Ripoti inasema kuwa alijiovadozi kwa dawa ambazo bado hazijafahamika Ndugu wa karibu na Paris jackson  wameuambia mtandao wa TMZ toka America kuwa hiyo yawezakuwa si jaribio la kwanza  kwani ana alama za  kujichanja kwa kifaa chenye ncha kali kwenye mkono wake.Siku moja kabla ya tukio hilo,Paris jackson alitweet maneno yafuatayo yenye mafumbo: “I wonder why tears are salty?” … na “yesterday, all my troubles seemed so far away now  it looks as though they’re here to stay.”





0 maoni:

Chapisha Maoni

Share

Twitter Delicious Facebook Digg Stumbleupon Favorites More